FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2015 RESULTS

Tusiime watia fora ufaulu kidato cha pili ASILIMIA 99 ya wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime waliofanya mtihani wa kidato cha pili wamefaulu kwa daraja la juu yaani ufaulu uliojipambanua (Distinction). Akizungumzia matokeo hayo ofisini kwake, Mkuu wa shule hiyo, Emil Rugambwa alishukuru kwa matokeo hayo

Read More

SFNA 2015 ASSESSMENT RESULTS – PRIMARY 4

SHULE ya Msingi Tusiime imeubeba Mkoa wa Dar es Salaam tena na kuwa Mkoa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la nne mwaka huu baada ya shule hiyo kuingia kumi bora kitaifa ikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi ( 248) idadi ambayo ni kubwa kuliko

Read More

PSLE 2015 Examination Results – TUSIIME YAONGOZA KIWILAYA DARASA LA SABA

SHULE ya Msingi Tusiime imeubeba Mkoa wa Dar es Salaam tena na kuwa Mkoa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la nne mwaka huu baada ya shule hiyo kuingia kumi bora kitaifa ikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi ( 248) idadi ambayo ni kubwa kuliko

Read More